Ruka hadi Yaliyomo
AfroCave
    • Blogu
    • Bajeti
    • Kaunti
    • Kitaifa
    • Siasa
    • Shirika
    • Katiba
  • Blogu
  • Sehemu▾
    • Bajeti
    • Kaunti
    • Kitaifa
    • Siasa
    • Shirika
    • Katiba
Tafuta Katiba Tafsiri:
  • sw▾
    • English
    • Swahili

Mwanzo » Katiba » Sura ya Nane - Bunge » Sura ya Nane - Sehemu ya 5. Taratibu za Jumla na Sheria za Bunge » Kifungu 117. Mamlaka, Haki na Kinga za Bunge

Kifungu 117. Mamlaka, Haki na Kinga za Bunge

(1) Kutakuwa na uhuru wa kujieleza na kujadili Bungeni.

(2) Bunge linaweza, kwa lengo la kupangilia vyema shughuli za bunge, kutoa mamlaka, marupurupu na kinga ya Bunge, kamati zake, kiongozi wa chama cha kisiasa cha wabunge walio wengi, kiongozi wa chama cha kisiasa cha wabunge walio wachache,vinara na wanachama wa kamati.

  • « Kifungu 116. Kutekelezeka kwa Sheria
  • Kifungu 118. Kufikiwa na Kushiriki kwa Umma »

Makala Zaidi:

  • Sura ya Kwanza - Mamlaka ya Wananchi na Ukuu wa Katiba Hii
  • Sura ya Pili - Jamhuri
  • Sura ya Tatu - Uraia
  • Sura ya Nne - Sheria ya Haki
  • Sura ya Tano - Arthi na Mazingira
  • Sura ya Sita - Uongozi na Maadili
  • Sura ya Saba - Uwakilishi wa Watu
  • Sura ya Nane - Bunge
  • Sura ya Tisa - Mamlaka Kuu ya Serikali
  • Sura ya Kumi - Mahakama
Jifahamishe!

Jiunge na jarida letu kisha tufuate kwa mitandao ya kijamii.

Jarida

Usajili ni Bure!

Twitter

Tufuate Twita!

Facebook

Tupende Facebook!

  • Kuhusu
  • Wasiliana
© 2019-2022 AfroCave.