
Mambo 50 Kuhusu Fedha za Umma nchini Kenya
Tume ya Utekelezaji wa Katiba na Shirika la Kimataifa la Bajeti walichapisha toleo linalojibu masuala mbalimbali ambayo yamekuwa yakiulizwa na wananchi kuhusiana na masuala ya…
Tume ya Utekelezaji wa Katiba na Shirika la Kimataifa la Bajeti walichapisha toleo linalojibu masuala mbalimbali ambayo yamekuwa yakiulizwa na wananchi kuhusiana na masuala ya…
Katiba ya Kenya inazipa nguvu Serikali za Kaunti kukusanya mapato yao wenyewe. Kifungu cha 209 kinaeleza kuwa Serikali za Kaunti zinaweza kutoza ushuru kwa mali na kodi za…
Deni la umma linarejelea pesa ambazo serikali inadaiwa na wakopeshaji au wadai. Inajumuisha deni la pesa zilizokopwa ndani ya nchi na deni la pesa zilizokopwa kutoka nje ya nchi.
Madhumuni ya Hazina ya Mahakama nchini Kenya ni kugharamia usimamizi wa Mahakama na majukumu mengine kama itakavyokuwa muhimu katika utekelezaji wa majukumu ya Mahakama.. Kifungu…
Tofauti kuu kati ya Bili za Hazina na Hati Fungani za Hazina nchini Kenya ni urefu wa ukomavu. Bili za Hazina ni uwekezaji salama, wa muda mfupi wa mwaka mmoja au chini ya hapo na…
Aina tatu za bajeti za serikali nchini Kenya ni bajeti ya nakisi, bajeti ya ziada na bajeti yenye uwiano. Bajeti ni waraka unaoweka wazi mapendekezo ya mapato, matumizi na…