
Siasa



Utaratibu wa Kupiga Kura nchini Kenya
Shughuli ya upigaji kura nchini Kenya inahakikisha kuwa Wakenya wanashiriki katika mchakato wa kidemokrasia wa kuchagua watu watakaowaongoza. Wakati wa uchaguzi mkuu nchini Kenya…
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa:

Sheria za Uchaguzi nchini Kenya
Kuna sheria mbalimbali zinazosimamia uchaguzi nchini Kenya. Kifungu cha 82 cha Katiba ya Kenya kinaelekeza Bunge kutunga sheria kuhusu uchaguzi nchini Kenya. Mbali na Katiba, kuna…
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa:

Aina za Uchaguzi wa Wabunge nchini Kenya
Uchaguzi mkuu, uchaguzi mdogo na uchaguzi wa marudio ndio aina tatu za uchaguzi za wabunge nchini Kenya. Uchaguzi mkuu hutokea kila baada ya miaka mitano, huku uchaguzi mdogo…
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa:

Usajili wa Wapiga Kura nchini Kenya
Mchakato wa usajili wa wapigakura nchini Kenya unahusisha kuchukua maelezo ya raia wanaostahili kupiga kura na kurekodi maelezo katika sajili ya wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi.
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa:

Wajibu wa Msimamizi wa Uchaguzi nchini Kenya
Jukumu la Msimamizi wa Uchaguzi nchini Kenya ni kuhakikisha kwamba uendeshaji wa uchaguzi unafuata sheria. Msimamizi wa Uchaguzi anatakiwa asiwe na upendeleo katika kutekeleza…
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa:

Wajibu wa Afisa Msimamizi wa Kituo cha Kupigia Kura
Afisa Msimamizi wa kituo cha kupigia kura ni mmoja wa maafisa wa uchaguzi nchini Kenya. Jukumu kubwa la Afisa Msimamizi wa kituo cha kupigia kura nchini Kenya ni kusimamia…
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa:

Wajibu wa Karani wa Kura nchini Kenya
Jukumu kubwa la Karani wa Kura nchini Kenya ni kuhakikisha uchaguzi unafanyika vizuri kama ilivyo katika kituo cha kupigia kura kama walivyopangiwa na Afisa Wasimamizi wa Uchaguzi.
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa:

Aina za Uchaguzi nchini Kenya
Kuna aina mbalimbali za uchaguzi nchini Kenya. Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ndicho chombo cha Kikatiba chenye mamlaka ya kuendesha na kusimamia aina zote za uchaguzi nchini…
- Mwandishi Gĩthĩnji
- Imesasishwa: