Ruka hadi Yaliyomo
AfroCave

Siasa

Utaratibu wa Kupiga Kura nchini Kenya

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Shughuli ya upigaji kura nchini Kenya inahakikisha kuwa Wakenya wanashiriki katika mchakato wa kidemokrasia wa kuchagua watu watakaowaongoza. Wakati wa uchaguzi mkuu nchini Kenya…

Soma Zaidi Kuhusu Utaratibu wa Kupiga Kura nchini Kenya

Sheria za Uchaguzi nchini Kenya

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Kuna sheria mbalimbali zinazosimamia uchaguzi nchini Kenya. Kifungu cha 82 cha Katiba ya Kenya kinaelekeza Bunge kutunga sheria kuhusu uchaguzi nchini Kenya. Mbali na Katiba, kuna…

Soma Zaidi Kuhusu Sheria za Uchaguzi nchini Kenya

Aina za Uchaguzi wa Wabunge nchini Kenya

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Uchaguzi mkuu, uchaguzi mdogo na uchaguzi wa marudio ndio aina tatu za uchaguzi za wabunge nchini Kenya. Uchaguzi mkuu hutokea kila baada ya miaka mitano, huku uchaguzi mdogo…

Soma Zaidi Kuhusu Aina za Uchaguzi wa Wabunge nchini Kenya

Haki ya Kupata Habari nchini Kenya

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Kifungu cha 35 cha Katiba kinatoa haki ya kupata habari nchini Kenya. Kila mwananchi ana haki ya kupata habari ilizonazo Serikali na habari zozote alizonazo mtu mwingine na…

Soma Zaidi Kuhusu Haki ya Kupata Habari nchini Kenya

Usajili wa Wapiga Kura nchini Kenya

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Mchakato wa usajili wa wapigakura nchini Kenya unahusisha kuchukua maelezo ya raia wanaostahili kupiga kura na kurekodi maelezo katika sajili ya wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi.

Soma Zaidi Kuhusu Usajili wa Wapiga Kura nchini Kenya

Wajibu wa Msimamizi wa Uchaguzi nchini Kenya

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Jukumu la Msimamizi wa Uchaguzi nchini Kenya ni kuhakikisha kwamba uendeshaji wa uchaguzi unafuata sheria. Msimamizi wa Uchaguzi anatakiwa asiwe na upendeleo katika kutekeleza…

Soma Zaidi Kuhusu Wajibu wa Msimamizi wa Uchaguzi nchini Kenya

Wajibu wa Afisa Msimamizi wa Kituo cha Kupigia Kura

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Afisa Msimamizi wa kituo cha kupigia kura ni mmoja wa maafisa wa uchaguzi nchini Kenya. Jukumu kubwa la Afisa Msimamizi wa kituo cha kupigia kura nchini Kenya ni kusimamia…

Soma Zaidi Kuhusu Wajibu wa Afisa Msimamizi wa Kituo cha Kupigia Kura

Wajibu wa Karani wa Kura nchini Kenya

  • Mwandishi Gĩthĩnji
  • Imesasishwa:

Jukumu kubwa la Karani wa Kura nchini Kenya ni kuhakikisha uchaguzi unafanyika vizuri kama ilivyo katika kituo cha kupigia kura kama walivyopangiwa na Afisa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Soma Zaidi Kuhusu Wajibu wa Karani wa Kura nchini Kenya