Ruka hadi Yaliyomo
AfroCave
    • Bajeti
    • Kaunti
    • Kitaifa
    • Siasa
    • Shirika
    • Katiba
  • Bajeti
  • Utawala▾
    • Kaunti
    • Kitaifa
    • Siasa
  • Shirika
  • Katiba
Tafuta Katiba Tafsiri:
  • sw▾
    • English
    • Swahili

Mwanzo » Katiba » Sura ya Sita - Uongozi na Maadili » Kifungu 79. Sheria ya Kuundwa kwa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi

Kifungu 79. Sheria ya Kuundwa kwa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi

Bunge litatunga sheria ya kubuniwa kwa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi, ambayo itakuwa na hadhi na mamlaka sawa na tume iliyo chini ya Sura ya Kumi na Tano, kwa nia ya kuhakikisha utimizaji na utekelezaji wa masharti ya Sura hii.

  • « Kifungu 78. Uraia na Uongozi
  • Kifungu 80. Sheria Kuhusu Uongozi »

Makala Zaidi:

  • Sura ya Kwanza - Mamlaka ya Wananchi na Ukuu wa Katiba Hii
  • Sura ya Pili - Jamhuri
  • Sura ya Tatu - Uraia
  • Sura ya Nne - Sheria ya Haki
  • Sura ya Tano - Arthi na Mazingira
  • Sura ya Sita - Uongozi na Maadili
  • Sura ya Saba - Uwakilishi wa Watu
  • Sura ya Nane - Bunge
  • Sura ya Tisa - Mamlaka Kuu ya Serikali
  • Sura ya Kumi - Mahakama
Jifahamishe!

Jiunge na jarida letu kisha tufuate kwa mitandao ya kijamii.

Jarida

Usajili ni Bure!

Twitter

Tufuate Twita!

Facebook

Tupende Facebook!

  • Kuhusu
  • Wasiliana
© 2019-2022 AfroCave.