Ruka hadi Yaliyomo
AfroCave
    • Bajeti
    • Kaunti
    • Kitaifa
    • Siasa
    • Shirika
    • Katiba
  • Bajeti
  • Utawala▾
    • Kaunti
    • Kitaifa
    • Siasa
  • Shirika
  • Katiba
Tafuta Katiba Tafsiri:
  • sw▾
    • English
    • Swahili

Mwanzo » Katiba » Sura ya Tano - Arthi na Mazingira » Sura ya Tano - Sehemu ya 1. Arthi » Kifungu 66. Kanuni za Matumizi ya Ardhi na Mali

Kifungu 66. Kanuni za Matumizi ya Ardhi na Mali

(1) Serikali inaweza kudhibiti matumizi ya ardhi yoyote au haki yoyote kuhusu ardhi kwa ajili ya ulinzi, usalama wa umma, mpangilio wa umma, maadili ya umma, afya ya umma, au mpango wa matumizi ya ardhi.

(2) Bunge litatunga sheria kuhakikisha kwamba uwekezaji katika mali ni kwa manufaa ya jamii na chumi zao.

  • « Kifungu 65. Umilikaji Ardhi wa Wasio Raia
  • Kifungu 67. Tume ya Kitaifa ya Ardhi »

Makala Zaidi:

  • Sura ya Kwanza - Mamlaka ya Wananchi na Ukuu wa Katiba Hii
  • Sura ya Pili - Jamhuri
  • Sura ya Tatu - Uraia
  • Sura ya Nne - Sheria ya Haki
  • Sura ya Tano - Arthi na Mazingira
  • Sura ya Sita - Uongozi na Maadili
  • Sura ya Saba - Uwakilishi wa Watu
  • Sura ya Nane - Bunge
  • Sura ya Tisa - Mamlaka Kuu ya Serikali
  • Sura ya Kumi - Mahakama
Jifahamishe!

Jiunge na jarida letu kisha tufuate kwa mitandao ya kijamii.

Jarida

Usajili ni Bure!

Twitter

Tufuate Twita!

Facebook

Tupende Facebook!

  • Kuhusu
  • Wasiliana
© 2019-2022 AfroCave.