Kifungu 253. Ushirikishwaji wa Tume na Afisi Huru Kila tume na afisi huru– (a) ni asasi shirikishi iliyo na msururu wa urithi na muhuri wake; na (b) inaweza kushtaki na kushtakiwa katika jina lake la kiushirika. «Nyuma Kifungu 252. Majukumu na Mamlaka ya Jumla Mbele» Kifungu 254. Kuripoti kwa Tume na Afisi Huru Mwanzo » Katiba » Sura ya 15 » Kifungu 253. Ushirikishwaji wa Tume na Afisi Huru